UFAFANUZI KUHUSU MATUMIZI YA VIKOKOTOZI (CALCULATORS) WAKATI WA
UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI KUANZIA MWAKA 2026
Uongozi wa Baraza la Mitihani la Zanzibar unapenda kuutaarifu Umma ya
kwamba matumizi ya vikokotozi (calculators) ambavyo havina programu
maalumu (Non programmable Calculators) yanaweza kuruhusiwa wakati wa Upimaji wa
Kitaifa wa Kidato cha Pili wa mwaka 2026 kwa masomo yafuatayo:-
1.
Bookkeeping
2.
Business
Studies
3.
Carpentry
and Joinery with Metal Works
4.
Chemistry
5.
Civil
Draughting
6.
Electrical
Installation
7.
Electronics Repair
8.
Engineering Science
9.
Geography
10.
Masonry and Brick Laying
11.
Mathematics
12.
Physics
13.
Technical Drawing
14.
Welding and Metal Fabrication
Imetolewa na:
KITENGO CHA HABARI NA UHUSIANO
BARAZA LA MITIHANI LA ZANZIBAR